Mchezo wa leo utakuwa ni tofauti na ule wa mzunguko wa kwanza uliomalizika kwa sare ya bao moja kwakuwa tutaingia tukiwa vinara wa ligi kwenye msimamo.
Kikosi Kamili kilivyopangwa:
Gelwa Yohna (21), Daniela Ngoyi (22), Fatuma Issa (5), Violeth Nicholaus (26), Ruth Ngosi (20), Danai Bhobho (40), Vivian Corazone (4), Mwanahamisi Omary (7), Asha Djafari (24), Aisha Juma (10), Jentrix Shikangwa (25).
Advertisement
Wachezaji wa Akiba:
Janeth Shija (30), Esther Bessa (23), Diana Mnally (15), Joelle Bukuru (18), Pambani Kuzoya (17), Amina Hemedi (23), Barakat Olaiya (9), Asha Rashid (33), Zainabu Mohamed (8).