Simba Sports Club
News

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili PVP Buyenzi

23 Aug 2024

Kocha Juma Mgunda amefanya mabadiliko ya wachezaji watatu ukilinganisha na kile kilichoanza mchezo uliopita dhidi ya Kawempe Muslim.

Mgunda amewaanzisha Esther Mayala, Saiki Mary na Daniela Ngoyi na kuwapumzisha Fatuma Issa, Wincate Kaari na Amina Bilali.

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:

Advertisement

Caroline Rufa (18), Esther Mayala (23), Ruth Ingosi (20), Daniela Ngoyi (22), Violeth Nicholaus (26), Saiki Mary (19), Elizabeth Wambui (4), Ritticia Nabbosa (13), Jentrix Shikangwa(25),Vivian Corazone (17), Precious Christopher (8).

Wachezaji wa Akiba:

Gelwa Yonah (21), Dotto Evarist (2), Fatuma Issa (5), Emeliana Ndimu (15), Jackline Albert (16), Asha Djafari (24), Amina Bilali (11), Asha Rashid (4), Shelda Boniface (9).

Back to homepage
Share this story