Simba Sports Club
News

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Mlandizi

22 Jan 2025

Mshambuliaji kinara, Aisha Juma ambaye hakuwa na kikosi kwa mzunguko wa kwanza mzima amerejea kundini na ameanza kwenye kikosi cha kwanza.

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:

Janeth Shija (30), Fatuma Issa (5), Dotto Evarist (2), Violeth Nicholaus (26), Ruth Ingosi (20), Esther Mayala (23), Vivian Corazone (17), Jentrix Shikangwa (25), Aisha Juma (10), Asha Djafari (24), Precious Christopher (8).

Advertisement

Wachezaji wa Akiba:

Gelwa Yonah (21), Wincate Kaari (29), Emeliana Mdimu (15), Janeth nyagali (12), Amina Bilali(11), Shelda Boniface (9), Zawadi Hamisi (36), Ritticia Nabbosa (27), Jackline Albert (16).

Back to homepage
Share this story