Simba Sports Club
News

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Kawempe Muslim

29 Aug 2024

Kocha Juma Mgunda amefanya mabadiliko kadhaa ya wachezaji ukilinganisha na kikosi kilichocheza mechi ya mwisho dhidi ya Polisi Bullets kutoka Kenya.

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:

Gelwa Yonah (21), Fatuma Issa (5), Wincate Kaari (12), Ruth Ingosi (20), Violeth Nicholaus (26), Mary Saiki (19), Elizabeth Wambui (4), Ritticia Nabbosa (13), Jentrix Shikangwa (25), Vivian Corazone (17), Asha Djafar (24).

Advertisement

Wachezaji wa Akiba:

Janeth Shija (1), Esther Mayala (23), Daniela Ngoyi (22), Jackline Albert (16), Amina Bilali (11), Precious Christopher (8), Asha Mwalala (14), Shelda Boniface (9).

Back to homepage
Share this story