Queens itaingia kwenye mchezo wa leo ikiwa na kumbukumbu nzuri ya ushindi mnono wa mabao 11-0 dhidi ya Mlandizi Queens wiki iliyopita.
Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:
Janeth Shija (30), Fatuma Issa (5), Wincate Kaari (29), Violeth Nicholaus (26), Ruth Ingosi (20), Esther Mayala (23), Vivian Corazone (17), Precious Christopher (8), Jentrix Shikangwa (25), Aisha Juma (10), Asha Djafari (24).
Advertisement
Wachezaji wa Akiba:
Gelwa Yonah (21), Dotto Evarist (2), Emeliana Mdimu (15), Janeth Nyagali (12), Mwanahamisi Omary (7), Shelda Boniface (9), Zawadi Hamisi (36), Ritticia Nabbosa (27), Elizabeth Wambui (4).