Simba Sports Club
News

Kibegi chafika Kibo, kufika mchana kileleni

21 Jul 2023

Msafara huo unatarajiwa kufika Uhuru kuanzia saa 9 Alasiri na baada ya kuwasili tuu uzinduzi utafanyika.

Bado tunaangalia uwezekano wa tukio hilo kuwa Mubashara kwa kushirikiana na wenzetu wa TTCL ambao wamefunga mitambo ya mawasiliano juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro.

Advertisement
Back to homepage
Share this story