Zoezi la kupandisha begi juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro limeanza jana mchana na litakamilika kesho saa moja jioni.
Baada ya kutoka Horombo mashujaa wetu wataendelea na safari ambapo kituo kinachofuata kitakuwa Kibo.
Advertisement
Tutaendelea kukupasha hatua kwa hatua kupitia App hii kila kinachoendelea mpaka kitakapofika juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro.