Simba Sports Club
News

Karibu Unyamani Kocha Abdelhak Benchikha.

24 Nov 2023

Kabla ya kuwa Kocha Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha aliiongoza USM Alger kuchukua kombe la shirikisho la Afrika baada ya kuifunga Yanga, pia aliiongoza USM Alger kuchukua kombe la Suoer Cup baada ya kuifunga Al-Ahly ya Misri.

Pia amezifundisha timu nyingine kama Raja Casablanca, CR Belouizdad , RS Barkane, MC Alger , Club African, TR Tanger na timu nyingine kadhaa.

Advertisement

Klabu ya Simba inamkaribisha kwa furaha kubwa na kumtakia kila la kheri.

Back to homepage
Share this story