Simba Sports Club
News

Karibu Unyamani Josephine Julius

31 Jul 2024

Josephine ni kijana mdogo mwenye miaka 20 ambaye bado ana nguvu ya kuutumikia mpira kwa muda mrefu kutoka sasa.

Msimu uliopita Josephine amehusika kwenye mabao nane ya Baobab akifunga manne na kutoa 'assisti' nne.

Advertisement

Josephine anategemewa kuwa msaada mkubwa kutokana na ubora alionao hasa ukizingatia umri wake.

Back to homepage
Share this story