Usanase ni nyota kutoka nchini Rwanda ambaye ana uwezo wa kucheza nafasi mbalimbali kwenye idara ya ushambuliaji
Usanase (22) anaweza kucheza kama winga wa kulia, winga wa kushoto pia mshambuliaji kinara namba tisa.
Advertisement
Usajili huu wa Usanase tunategemea utakuwa na faida kubwa hasa ukizingatia kipaji alichonacho pamoja na uzoefu wake katika soka la Afrika Mashariki.