Simba Sports Club
News

Karibu Simba Queens Ruth Aturo

22 Sep 2025

Ruth (30) raia wa Uganda ni mmoja ya wachezaji mwenye kipaji kikubwa na kwa uwezo wake tunaamini ataisaidia Queens kufanya vizuri katika mashindano tukayoshiriki msimu huu 2025/2026.

Uongozi wa klabu umefanya mabadiliko makubwa ya kikosi lengo likiwa ni kurejesha heshima na kutwaa mataji yote tuliyopoteza.

Advertisement
Back to homepage
Share this story