Karabaka alijiunga nasi Januari mwaka huu kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Klabu ya JKU ya Visiwani Zanzibar.
Karabaka ni mchezaji kijana mwenye uwezo mkubwa na matumaini ya klabu ya Simba ni kwamba ataendelea kuonyesha makali yake akiwa na kikosi cha Namungo.
Advertisement
Karabaka anakuwa mchezaji wa kwanza kutolewa kwa mkopo katika kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili.