Simba Sports Club
News

Kapombe: Tupo tayari kuipigania timu

19 Sep 2025

Kapombe amesema kila mchezaji yupo timamu asilimia 100 kuhakikisha anasaidia timu kupata ushindi muhimu ugenini.

Kapombe ameongeza kuwa itakuwa mechi ngumu kwa jinsi walivyowatazama wapinzani lakini aina ya kikosi tulichonacho na uzoefu wa michuano hii tuna nafasi kubwa ya kupata ushindi.

Advertisement

"Haitakuwa mechi rahisi lakini kwa upande wetu kama wachezaji tupo tayari kujitoa, kila atayepata nafasi ya kucheza atahakikisha anaisaidia timu kupata ushindi," amesema Kapombe.

Back to homepage
Share this story