Simba Sports Club
News

Kapombe awania tuzo ya mchazaji bora wa mwaka Afrika

22 Oct 2025

Kapombe ni miongoni mwa wachezaji waliotoa mchango mkubwa na kuisadia timu kufika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita.

Kapombe anaungana na nyota wafuatao ambao wanaowania tuzo hiyo, Ismail Belkacemi, Blati Toure, Youssef Dayo, Fiston Mayele, Emam Ashour na Ibrahim Adel.

Advertisement

Wengine ni Mohamed Hrimat, Mohamed Chibi na Ousama Lamlioui.

Back to homepage
Share this story