Kapama ana uwezo wa kucheza nafasi nyingi uwanjani kama beki, kiungo na mshambuliaji hali iliyolivutia benchi la ufundi na kumsajili.
Akiwa Kagera Sugar msimu uliopita Kapama amefunga mabao mawili na kusaidia kupatikana kwa mengine matatu baada ya kucheza mechi 25.
Advertisement
Kabla ya kujiunga na Kagera Kapama alikuwa akicheza Ndanda FC.