Kwa sasa, Joash amebakiza mkataba wa mwaka mmoja.
Uongozi wa Simba Sports Club unapenda kumshukuru sana Joash kwa mchango wake mkubwa na alikuwa na mchango mkubwa kwenye mafanikio ya Klabu yetu.
Advertisement
Uongozi wa Simba Sports Club unapenda kumtakia kila la kheri Joash Ochieng Onyango kwenye majukumu yake mapya.