Simba Sports Club
News

Jentrix akabidhiwa kiatu cha ufungaji bora SLWPL

12 Jun 2023

Shikangwa amekabidhiwa kiatu cha dhahabu katika hafla ya tuzo za TFF 2022/23 zinazofanyika jijini Tanga usiku huu.

Shikangwa pia amechaguliwa katika kikosi bora cha SLWPL msimu wa 2022/23.

Advertisement

Wachezaji wengine walioingia kwenye kikosi bora cha msimu ni pamoja na walinzi Fatuma Issa 'Fetty Densa' na Violeth Nicholas.

Back to homepage
Share this story