Henock ameshiriki mazoezi ya jioni pamoja na wenzake ikiwa ni maandalizi ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas utakaopigwa siku ya Ijumaa.
Kurejea kwa Inonga kunafanya kikosi chetu kuwa kamili maana hakuna mchezaji ambaye hajajiunga na wenzake.
Advertisement
Kikosi kimerejea mazoezini leo baada ya mapumziko ya siku moja kufuatia ushindi wa bao moja dhidi ya JKT Tanzania tuliopata siku ya Alhamisi.