Inonga amecheza dakika zote 90 katika mchezo wa jana wa robo fainali dhidi ya Guinea ambao waliibuka na ushindi wa mabao 3-1.
Kocha Mkuu wa DR Congo, Sebastien Desabre amekuwa akimuamini Henock katika idara ya ulinzi wa kati pamoja na nahodha Chancel Mbemba.
Advertisement
Simba inaendelea kumuombea Inonga azidi kufanya vizuri na kuisaidia nchi yake ikiwezekana kutwaa taji la AFCON.