Simba Sports Club
News

Infantino aipongeza Simba Queens

7 Jul 2024

Infantino ametuma salamu hizo kupitia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili kuzifikisha kwetu.

Infantino amesema juhudi tulizofanywa kwa msimu mzima zimezaa matunda na hilo ni jambo la kupongezwa.

Advertisement

Aidha Infantino ameupongeza Uongozi, benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki kwa kufanikisha kupatikana kwa ubingwa huo.

Back to homepage
Share this story