Infantino ametuma salamu hizo kupitia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili kuzifikisha kwetu.
Infantino amesema juhudi tulizofanywa kwa msimu mzima zimezaa matunda na hilo ni jambo la kupongezwa.
Advertisement
Aidha Infantino ameupongeza Uongozi, benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki kwa kufanikisha kupatikana kwa ubingwa huo.