Tumekuwa na utaratibu wa kualika viongozi mbalimbali wa serikali katika mechi zetu za kimataifa zinazofanyika nyumbani ili kuongeza thamani ya mechi ya husika.
Katika mchezo uliopita dhidi ya ASEC Mimosas tulimualika Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Musa Azzan Zungu.
Advertisement
Mchezo wetu dhidi ya Berkane utaanza saa 10 jioni na maandalizi yanaendelea vizuri na kila kitu kipo mahala pake.