Hussein (23) ni kijana mwenye uwezo mkubwa na tunatarajia atakuwa ingizo bora kikosini.
Katika eneo la mlinzi wa kati, Hussein ataungana na wazoefu Henock Inonga, Kennedy Juma na Che Fondoh Malone.
Advertisement
Hussein amecheza soka la kulipwa nchini Shelisheli katika timu ya Forester FC kabla ya kujiunga na Mbeya Kwanza, Polisi Tanzania na Geita Gold.