Stars imefuzu baada ya kumaliza nafasi ya pili kwenye kundi F nyuma ya Algeria ikiwa na alama nane.
Tanzania inakuwa miongoni mwa nchi 24 zilizofanikiwa kushiriki michuano ya AFCON ambayo itafanyika nchini Ivory Coast, Januari mwakani.
Advertisement
Hii ni mara ya tatu kwa Tanzania kufuzu AFCON baada ya mwaka 1980 na 2019.