Simba Sports Club
News

Hizi hapa timu zilizotinga Nusu Fainali Simba Bankers Bonanza

6 Apr 2025

Timu zilizotinga Nusu Fainali ni zile zilizomaliza nafasi mbili za juu kutoka kwenye kila kundi kutokana na msimu huu kuchezwa kwa mfumo wa makundi.

Timu ambazo zimefuzu ni Equity Bank, Azania Bank, NMB Bank na NBC Bank.

Hii hapa ratiba ya Nusu Fainali

Advertisement

NBC Bank vs Azania

NMB vs Equity

Back to homepage
Share this story