Usajili huu umelenga kuongeza nguvu kwenye kila idara kuanzia golini, Ulinzi na kiungo.
Kwa upande wa golini tumemuongeza Djibrilla Kassali kwenye Ulinzi tumewaongeza Ismail Toure na Nickson Kibabage.
Kwa upande wa idara ya kiungo wa ushambuliaji tumewaongeza Clatous Chama na Libasse Gueye.
Namba za wachezaji wapya
Djibrilla Kassali 39
Advertisement
Nickson Kibabage 32
Ismail Toure 25
Clatous Chama 24
Libasse Gueye 29