Simba Sports Club
News

Hizi hapa namba za jezi za wachezaji wetu 2025/2026

11 Sep 2025

Kuna wachezaji wapya na wageni ambao wameingia kikosini na kila mmoja tayari amechagua namba ya jezi ambayo ataitumia katika msimu mzima wa mashindano.

Hizi hapa namba jezi za wachezaji wetu

Makipa

Moussa Camara (26)

Hussein Abel (28)

Yakoub Suleiman (22)

Walinzi

David Kameta (15)

Anthony Mligo (5)

Naby Camara (30)

Abdulazak Hamza (14)

Rushine De Reuck (23)

Karabou Chamou (2)

Vedastus Masinde (4)

Wilson Nangu (31)

Shomari Kapombe (12)

Viungo

Advertisement

Yusuph Kagoma (21)

Allasane Kante (8)

Awesu Awesu (33)

Morice Abraham (18)

Kibu Denis (38)

Hussein Daudi Semfuko (37)

Joshua Mutale (7)

Mzamiru Yassin (19)

Mohamed Bajaber (17)

Ladaki Chasambi (36)

Neo Gift Maema (35)

Jean Charles Ahoua (10)

Elie Mpanzu (34)

Washambuliaji

Steven Dese Mukwala (11)

Abdallah Seleman Mwalimu (40)

Jonathan Sowah (3)

Back to homepage
Share this story