Simba Sports Club
News

Hivi hapa Viingilio vya Simba Day

25 Jul 2023

Viingilio vilivyowekwa ni rafiki kwa kila shabiki sababu tunafahamu ili Tamasha letu lifane tunahitaji watu wajitojeze kwa wingi.

Viingilio vimepangwa kama ifuatavyo:

Mzunguko Sh. 5000

Machungwa Sh. 10,000

VIP C Sh. 20,000

Advertisement

VIP B Sh. 30,000

VIP A Sh. 40,000

Platinum Sh. 200,000

Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amewasisitiza mashabiki kununua tiketi mapema ili kuepusha usumbufu siku ya tukio.

Ahmed amesema matawi yanaweza kujipanga na kununua tiketi za jumla zitakazouzwa katika Ofisi za klabu kulingana na wingi wao ili kupunguza foleni.

Back to homepage
Share this story