Lengo la kutangaza mapema viingilio ni kuepusha usumbufu kwa mashabiki watakaopata nafasi siku ya mchezo.
Viingilio hivyo vimepangwa kama ifuatavyo:
Mzunguko Sh 3,000
VIP C Sh 10,000
Advertisement
VIP B Sh 20,000
VIP A Sh 30,000
Tiketi zitaanza kuuzwa kesho kupitia mitandao ya simu ambapo vituo vitakavyotangazwa muda wowote kuanzia sasa.