Simba Sports Club
News

Hivi hapa viingilio vya mchezo wetu dhidi ya Raja Casablanca

12 Feb 2023

Viingilio vimetangazwa mapema ili kuwapa nafasi mashabiki kununua mapema sababu tunahitaji mashabiki wajitokeze kwa wingi uwanjani kuipa sapoti timu.

Viingilio ni kama ifuatavyo:

Mzunguko Sh. 5000

VIP B & C Sh. 20000

VIP A Sh. 30,000

Platinum Sh. 100,000

Platinum Plus Sh. 150,000

Advertisement

Vitu ambavyo atavipata atayenunua tiketi za Platinum ni.

1. Escort kutoka Hoteli ya Hyatt Regency mpaka uwanjani.

2. Kifurushi maalum kutoka Simba.

3. Chakula na Vinywaji ukiwa uwanjani.

Ili kupata tiketi za Platnum na Platnum Plus tupigie kwa namba hii +255742771311.

Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kwa njia ya mtandao muda mfupi ujao tutatangaza vituo ambavyo zitapatikana.

Back to homepage
Share this story