Simba Sports Club
News

Hivi hapa viingilio vya mchezo wa ufunguzi wa AFL

11 Oct 2023

Katika ufunguzi huo tutashuka dimbani kuikabili Al Ahly kutoka Misri mtanange ambao tunaamini utakuwa mgumu.

Eneo la VIP A halitauzwa tiketi zake sababu limeandaliwa kwa ajili ya Viongozi mbalimbali kutoka Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) pamoja na FIFA.

Hivi hapa viingilio vyenyewe

Platinum Sh. 200,000

VIP B Sh. 40,000

Advertisement

VIP C Sh. 30,000

Orange Sh. 10,000

Mzunguko Sh. 7000

Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kwenye mtandao na Vituo ziatakapokuwa zinauzwa vitatangazwa muda wowote kutoka sasa.

Back to homepage
Share this story