Katika ufunguzi huo tutashuka dimbani kuikabili Al Ahly kutoka Misri mtanange ambao tunaamini utakuwa mgumu.
Eneo la VIP A halitauzwa tiketi zake sababu limeandaliwa kwa ajili ya Viongozi mbalimbali kutoka Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) pamoja na FIFA.
Hivi hapa viingilio vyenyewe
Platinum Sh. 200,000
VIP B Sh. 40,000
Advertisement
VIP C Sh. 30,000
Orange Sh. 10,000
Mzunguko Sh. 7000
Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kwenye mtandao na Vituo ziatakapokuwa zinauzwa vitatangazwa muda wowote kutoka sasa.