Ahmed amesema viingilio vimetangazwa wiki moja kabla ili kuwapa nafasi mashabiki kununua tiketi mapema kuepuka usumbufu.
Sisi ndio wenyeji wa mchezo na tayari tumeweka hadharani viingilio ambavyo ni rafiki ili kuwafanya mashabiki kujitokeza kwa wingi.
Viingilio ni kama ifuatavyo:
Mzunguko Sh. 5,000
Vip A Sh. 40,000
Advertisement
Vip B Sh. 30,000
Vip C Sh. 20,000
Orange Sh. 10,000
Platinum Sh. 150,000
Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kupitia kwenye mitandao na vituo ambavyo zitaanza kuuzwa vitatangazwa muda wowote kutoka sasa.