Simba Sports Club
News

Hivi hapa viingilio vya mchezo wa Simba, Yanga

30 Oct 2023

Ahmed amesema viingilio vimetangazwa wiki moja kabla ili kuwapa nafasi mashabiki kununua tiketi mapema kuepuka usumbufu.

Sisi ndio wenyeji wa mchezo na tayari tumeweka hadharani viingilio ambavyo ni rafiki ili kuwafanya mashabiki kujitokeza kwa wingi.

Viingilio ni kama ifuatavyo:

Mzunguko Sh. 5,000

Vip A Sh. 40,000

Advertisement

Vip B Sh. 30,000

Vip C Sh. 20,000

Orange Sh. 10,000

Platinum Sh. 150,000

Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kupitia kwenye mitandao na vituo ambavyo zitaanza kuuzwa vitatangazwa muda wowote kutoka sasa.

Back to homepage
Share this story