Simba Sports Club
News

Hivi hapa Viingilio vya mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahli Tripoli

16 Sep 2024

Mchezo huo wa marudiano utapigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumapili ya Septemba 22 saa 10 jioni.

Hivi hapa Viingilio vilivyotangazwa:

Mzunguko – 3,000

Orange – 5000

VIP C – 10,000

Advertisement

VIp B – 20,000

VIp A – 40,000

Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kwa njia ya mitandao.

Uongozi wa klabu unawasisitiza mashabiki kununua tiketi mapema ili kupunguza usumbufu.

Back to homepage
Share this story