Simba Sports Club
News Videos

Hivi hapa Viingilio vya mchezo dhidi ya Yanga

12 Oct 2024

Ahmed ametangaza viingilio hivyo akiwa kwenye uzinduzi wa Tawi la Simba Mongolandege Ukonga, Dar es Salaam.

Hivi hapa Viingilio vilivyotangazwa:

VIP A – 50,000

VIP B – 30,000

VIP C – 20,000

Advertisement

ORANGE - 10,000

MZUNGUKO – 5,OOO

Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kwa njia ya mtandao na vituoni.

Ahmed amewasisitiza mashabiki hasa wa Simba kununua tiketi mapema ili kuepusha usumbufu usio wa lazima.

Back to homepage
Share this story