Simba Sports Club
News

Hivi hapa viingilio Simba, Red Arrows

25 Nov 2021

Uongozi wa klabu tayari umeweka hadharani viingilio vya mchezo wetu wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows utakaopigwa Jumapili uwanja wa Benjamin Mkapa.

Kiingilio cha chini kimewekwa Sh 5000 ili kuwafanya mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani kuisapoti timu kupata matokeo.

Tiketi zimeanza kuuzwa leo kwenye vituo mbalimbali ambapo kupitia mitandao ya simu zilianza kuuzwa tangu Jumanne.

Hivi hapa viingilio

Advertisement

Mzunguko Sh. 5000

VIP B na C Sh. 20,000

VIP Sh. 40,000

Back to homepage
Share this story