Maveterani walianzia hatua ya pili huku wakiibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Simba Hatari na kutinga moja kwa moja robo fainali.
Kikosi kamili kilivyopangwa:
Advertisement
Kelvin Mhagama, Mustafa Hoza, Lubiga Lubigisa,Mohamed Banka, Julius Mrope, Haruna Moshi, Dua Saidi, na Japhet Mamboleo.