Kikosi chetu kinasafiri mchana huu kuelekea mkoani Kagera kwa ajili ya mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Kaitaba saa 10 jioni.
Kikosi kimeondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) na moja kwa moja kitaelekea hadi Kagera tayari kwa mchezo huo.
Advertisement
Tumekuwekea picha za matukio mbalimbali wachezaji wakiwa Uwanja wa Ndege kabla ya kupaa.