Simba Sports Club
News

Habari Picha: Tazama viongozi walivyoaga mashabiki kwa Mkapa

23 Jun 2022

Viongozi hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa Wanachama, Murtaza Mangungu naMtendaji Mkuu, Barbara Gonzalez walizunguka uwanja mzima kuwashuru mashabiki kwa kuwa ndiyo mchezo wetu wa mwisho katika uwanja wa nyumbani.

Barbara alimkabidhi jezi maalumu mtoto Bernadetha Joseph (5) kwa niaba ya mashabiki nchi nzima kwa ajili ya kuwashukuru.

Advertisement

Tumekuwekea picha za matukio yote yaliyotokea baada ya kumalizika kwa mchezo.

Back to homepage
Share this story