Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Manungu keshokutwa Jumamosi saa 10 jioni kuikabili Mtibwa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.
Tumekuwekea picha za matukio mbalimbali wakati wachezaji wakiwa mazoezini.
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Manungu keshokutwa Jumamosi saa 10 jioni kuikabili Mtibwa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.
Tumekuwekea picha za matukio mbalimbali wakati wachezaji wakiwa mazoezini.