Baada ya mazoezi kikosi kimeingia kambini moja kwa moja kuendelea na maandalizi ya mchezo huo ambao unasubiriwa kwa hamu kubwa.
Tumekuwekea picha za matukio mbalimbali wakati wachezaji wakiwa mazoezini katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena.
Baada ya mazoezi kikosi kimeingia kambini moja kwa moja kuendelea na maandalizi ya mchezo huo ambao unasubiriwa kwa hamu kubwa.
Tumekuwekea picha za matukio mbalimbali wakati wachezaji wakiwa mazoezini katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena.