Simba Sports Club
News

Habari Picha: Mazoezi ya jioni Dubai

9 Jan 2023

Kocha Mkuu Roberto Oliviera 'Robertinho' amesema kuanzia leo mazoezi yatakuwa mara mbili asubuhi na jioni ili kuongeza kasi na mbinu kwa wachezaji.

Tumekuwekea picha za matukio mbalimbali wakati kikosi kikiwa mazoezini.

Advertisement
Back to homepage
Share this story