Simba Sports Club
News

Habari picha: Matukio ya mchezo wetu dhidi ya Red Arrows

5 Dec 2021

Timu yetu imefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa jumla ya mabao 4-2 dhidi ya Red Arrows baada ya mechi zote mbili.

Kikosi kimeshuka katika Uwanja wa Mashujaa jijini Lusaka, Zambia kuikabili Arrows na kupoteza kwa 2-1 lakini tumepita kutokana na uwiano mzuri wa mabao ya kufunga sababu ya ushindi mnono tuliopata nyumbani mwishoni mwa mwezi Novemba.

Advertisement

Tumekuwekea picha za matukio mbalimbali wakati mchezo huo ukiendelea.

Back to homepage
Share this story