Simba Sports Club
News

Habari Picha: Matukio mbalimbali ya mechi dhidi ya JKT

14 Dec 2021

Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga hatua ya nne ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya kuifunga JKT Tanzania bao moja katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Tumekuwekea matukio mbalimbali katika picha ya mchezo mzima ulivyokuwa.

Advertisement

Tazama picha za matukio hayo hapa.

Back to homepage
Share this story