Ikiwa imebaki siku moja kabla ya timu yetu kushuka dimbani kuikabili Coastal Union kikosi chetu kimeendelea na maandalizi kujiandaa na mtanange huo.
Jioni ya leo kikosi kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Boko Veterans kujiwinda na mechi hiyo ambayo itafanyika Jumapili kwenye dimba la Benjamin Mkapa.
Advertisement
Tumekuwekea picha za matukio mbalimbali za wachezaji wetu katika mazoezi hayo.