Simba Sports Club
News

Habari Picha: Kilichojiri Viwanja vya Mwembeyanga

19 Jan 2025

Ni siku ambayo imekuwa furaha kwa Wanasimba waliokuwa wamejaa katika Uwanja huo kushuhudia mchezo huo ambao umemalizika kwa ushindi wa mabao 2-0 na kuibuka vinara wa kundi A.

Tumekuwekea Picha za matukio mbalimbali yaliyotokea Mwembeyanga kabla na baada ya mchezo huo

Advertisement
Back to homepage
Share this story