Simba Sports Club
News

FULL TIME: SIMBA SC 6-0 ABO HAMAD

23 Jul 2022

Tutakuwekea updates za kila kitakachokuwa kinaendelea katika mchezo huo kupita hapa kwenye App yetu.

Kikosi Kamili kilivyopangwa

1. Ally Salim 2. Israel Patrick 3. Gadiel Michael 4.Joash Onyango 5. Henock Inonga 6. Victor Akpan 7. Moses Phiri 8. Jonas Mkude 9. Habibu Kyombo 10. Clatous Chama 11. Augustine Okrah

Kick Off - Simba SC VS Abo Hamad

05 - Simba SC 0-0 Abo Hamad

07 - Tunapata kona Israel Mwenda anaenda kupiga

10 - Tunapata Faulo nje ya 18 Okrah anaenda kupiga

15 - Simba SC 0-0 Abo Hamad

20 - Bado milango yote migumu

22 - Gadiel anakosa goli baada y Kipa wa Abo Hamad kuokoa

24 - Abo Hamad wanapata Offside ya Kwanza

26 - Mpira unachezwa katikati ya Uwanja mbinu zikitawala

27 - Okrah anafanyiwa madhambi mpira umesimama akipatiwa matibabu

28 - Mpira unaendelea Okrah amerudi Uwanjani

30 - Huyu Okrah ni hatari Simba Day Ifike tu na nyinyi mje muone wenyewe

35 - Tunapata Kona mpigaji ni Okrah ngoja nikae vizuri

37 - Mpira unachezwa sana kati Hapo Akpan na Mkude wamelimilika vyema Dimba

42 - Bado dakika 3 Mapumziko magoli magumu

Advertisement

44 - Moses Phiri anatuinua vitini baada ya kupokea pasi nzuri kutoka kwa Clatous Chama

Mpira ni mapumziko Simba 1-0 Abo Hamad

Kipindi cha Pili - Wanatoka - Moses Phiri, Victor Akpan, Henok Inonga , Clatous Chama na Habib Kyombo

Wanaingia - Erasto Nyoni, Jimmyson, Ouattara,Banda, na Chris Mugalu

46 - Kipindi cha pili kinaanza

55 - Tunaongoza bao 1-0

57 - Tunapata bao la pili likifungwa na Kiungo Jonas Mkude pasi kutoka kwa Okrah

58 - Tunaongoza 2-0

59 - Wanatoka - Gadiel, Mkude, Mwenda, na Okrah

- Wanaingia - Taddeo, Kapama, Sakho, na Kagere

69 - Kifaru cha Kinywaranda Medie Kagere anatuinua baaada ya kupokea pasi nzuri ya Wonderkid Peter Banda

71 - Goli la nne Pape Sakho anatuinua goli la Caf

75 - Simba 4 - 0 Abo Hamad

80 - Banda na Sakho wanagongeana zinapigwa pasi nyingi katikati ya Uwanja

86 - Sakho anafunga goli la pili akipokea asist ya Banda

87 - Mchezo unaendelea tukiliandama lango lao

90 - Erasto Nyoni anatufungia goli la 6

Mpira umemalizika - Simba SC 6-0 Abo Hamad

Back to homepage
Share this story