Kikosi kinachoanza - YAKOUB, KAPOMBE, MLIGO, CHAMOU, DE REUCK, KAGOMA, MPANZU, KANTE, MUKWALA, MORICE MUTALE
Kikosi kikipasha misuli moto.
Tayari timu imesharudi vyumbani baada ya kupasha misuli moto muda wowote kuanzia sasa mchezo utaanza.
Mchezo umeanza - Simba SC 0-0 Namungo FC
Dakika ya 3 - Tunawashambulia kwa kasi.
Dakika ya 6 - Chamou anafunga goli mwamuzi anasema ameotea
Dakika ya 8 - Abdallah Mfuko anaoneshwa kadi ya njano baada ya kumchezea vibaya Elie Mpanzu
Dakika ya 9 - Zinapigwa moja mbili tatu morice na mutale lakini Namungo wapo imara kuzuiya
Dakika ya 11 - Makambo anashindwa kuendelea na mchezo anaingia fabrice Ngoy
Dakika 20 - Tunawashambulia sana golini kwao mpira mzuri kabisa
Dakika 30 - Budo anapiga shuti kali linaokolewa na golikipa wa Namungo
Dakika ya 35 - Mukwala anaunganisha mpira wa Budo unagonga mwamba nakurudi uwnajani
Dakika ya 44 - Budo anapiga kona inaunganishwa vizuri kwa kichwa na Inspekta Karaboue Chamou
Dakika 2 za Nyongeza
Mpira umesimama nahodha Shomari Kapombe anatibiwa baada ya kuchezewa madhambi
Mpira ni Mapumziko - Simba SC 1-0 Namungo FC
Simba wamefanya mabadiliko anatoka Elie Mpanzu na Kuingia Neo Maema
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 55 - Simba Sc 1 -0 Namungo FC
Dakika ya 61 - De Reuck anafunga goli la pili kwa krosi ya Neo Maema
Dakika ya 69 - Anatoka Mukwala na. Morice anaingia Ahoua na Mwalimu
Dakika ya 80 - Kante na Budo wanaenda nje anaingia Semfuko na Kibu Denis
Mpira unachezwa kati kati ya uwanja Simba wakimiliki kwa asilimia kubwa
Dakika ya 82 - Mligo anapewa kadi ya njano
Dakika ya 84 - Selemani Mwalimu anawazidi ujanja Namungo na kufunga goli la 3 Kwa Simba
Dakika ya 86 - Namungo wanapata kona inaokolewa vizuri
Dakika ya 88 - Tunagonga pasi hapa na pale burudani safi kwa Wanasimba
Dakika 3 za Nyongeza
Rushine De Reuck anaoneshwa kadi ya njano
Dakika 90 zimeisha - Simba SC 3-0 Namungo FC