Simba Sports Club
News

FULL TIME : Simba Sc 3-0 El Qanah FC

22 Jul 2024

Fatilia hapa live update

Dakika ya kwanza - Simba Sc 0-0 El Qanah FC

10' - Bado bila mpira unapigwa

14' - Ahoua anafunga goli la kwanza faulo inaenda moja kwa moja

16' - Bao la pili, Ahoua anafunga bao baada ya mabeki wa El Qanah, kushindwa kuzuia pasi ya Chamou

20 - Simba Sc 2-0 El Qanah FC

27 - (Water Break) Mapumziko mafupi

30 - Mpira unaendelea Simba Sc 2-0 El Qanah FC

35 - Simba Sc 2-0 El Qanah FC

40 - Mpira mapumziko Simba Sc 2-0 El Qanah FC

- Mechi itachezwa kwa vipindi vitatu kila kimoja kitakuwa na dakika 40.

Kipindi cha pili kimeanza Simba Sc 2-0 El Qanah FC

Dakika ya 2 kipimdi cha pili golikipa Ally Salim anaokoa shuti kali golini

Dakika ya 10 Kipindi cha pili mpira unachezwa kati kati ya uwanja

Dakika ya 12. Mabadiliko wanatoka Ahoua na Fredy - wanaingia, Okejepha na Valentino Mashaka

Advertisement

Dakika ya 15 - Mzamiru anatoka anainga Omary Omary

Dakika ya 20 - Mutale anapiga pasi nzuri kwa Mashaka anashindwa kufunga mpira unaenda mikononi mwa kipa

Dakika ya 23 - El Qanah inafanya mabadiliko ya wachezaji tisa kwa pamoja .

Dakika 25. Mabadiliko wanatoka, Ally Salim, Kapombe, Tshaba, Che Malone, Chamou, Ngoma , Mutale na Balua

Wanaingia, Abel, Kijili, Nouma, Duchu, Karabaka, Debora na Chasambi

Dakika ya 30 - Mpira unachangamka kweli kweli

Dakika ya 40 - Kipindi cha pili cha mchezo kimekwisha

Kipindi cha tatu kimeanza - Simba Sc 2-0 El Qanah FC

Dakika 9, - Wametoka, Debora, Kijili na Mashaka - Wameingia, Awesu, Mukwala na Abdulrazack

Dakika ya 12 - Mpira unachezwa kati kati ya uwanja maufunfi mengi

Dakika ya 15 - Awesu Awesu analitawala dimba vizuri

Dakika ya 20 - Mpira unachezwa kwa kasi sana

Dakika 10, zimebaki kabla ya kipindi cha tatu kuisha, mechi inaendelea inachezwa pasi zaidi kwa timu zote na hakuna mashambulizi ya hatari

Dakika 40. Okejepha anafunga bao la tatu baada ya kupokea pasi safi ya chini chini kutokea kwa Ladack Chasambi

Back to homepage
Share this story