Simba Sports Club
News

FULL TIME : Simba SC 1-0 Al Zulfi

20 Aug 2025

Tufatilie hapa kupata updates zote zinazoendelea uwanjani

Vikosi vikipasha misuli moto tayari kwa mchezo.

Tayari timu zinajipanga kwa ukaguzi na mchezo kuanza.

Dakika ya kwanza - Simba SC 0-0 Al Zulfi

6 - Tunapata faulo inapigwa na Ahoua mpira unatoka nje

10 - Mpira unachezwa huku kila timu ikionekana kujiamini

11 - Mpanzu anampa pasi nzuri Chasambi ndani ya boksi na kupiga shuti la chinichini linadakwa na kipa wa wapinzani

21 - Morice anachezewa rafu nje ya boksi na kuwa faulo

Kibu Denis anapiga mpira unaenda nje

22 - Tunaendelea kuwashambulia

23 - Semfuko anachezewa faulo nje ya boksi

24 - Jean Charles Ahoua anapiga faulo inayaomshinda kipa wa timu pinzani

24 - Simba SC 1-0 Al Zulfi

28 - Wapinzani wanafanya shambulizi la kwanza kwa kupiga shuti dhaifu linaishia kwenye mikono ya Camara

30 - Water Break kutokana na hali ya hewa

32 - Mchezo unaendelea

37 - Mpira unaendeleq tukiwa mbele kwa bao 1

42 - Mpira unachezwa katika mwa uwanja

43 - Ahoua anatoka na kuingia Bashiru

45 - Mapumziko Simba 1-0 Al Zulfi

Advertisement

Kipindi cha pili kimeanza na mabadiliko ya wachezaji nane.

Kipindi cha pili kimeanza na mabadiliko ya wachezaji nane.

Alexander,

Kameta

De Reuck

Mligo

Karabaka

Awesu

Mukwala

Mutale

Waliobaki ni Mbegu na Chamou

50 - Bado hakuna shambulizi kali kwa timu zote mbili

60 - Anatoka Chamou anaingia Mashaka

65 - Karabaka akitokea pembeni anampa pasi Bashiru akiwa ndani ya boksi na kupiga shuti lilitoka nje

70 - mabadiliko

Wanatoka - Mbegu na Bashiru

Wameingia tena - Chasambi na Semfuko.

75 - Water Break | Mabadiliko anatoka Alexander anaingia Abel

80 - Mpira unaendelea bado tunaongoza bao 1-0

90 - full Time mpira umeisha tumeibuka na ushindi wa bao 1-0

Back to homepage
Share this story