Kikosi Kinachozana dhidi ya Simba
1.Beno 2.Israel 3.Gadiel 4.Wawa 5.Henock 6.Nyoni 7.Mhilu 8.Kanoute 9.Kibu 10.Bwalya 11. Sakho
Kikosi cha Cambiasso
1. Bruno 2.Francis 3.Mohamed 4.Abubakar 5.Shaban 6.Omar 7.Ahmed 8.Said 9.Simon 10. Ally 11.Charles
01 - Mchezo umeanza
02 - Kibu Denis anaandika bao la kwanza kwa pasi ya Sakho
06 - Simba 1-0 Cambiasso
10 - Sakho anakosa goli akiwa na kipa
15 - Msuva anamchezea faulo Israel mpira unapigwa kuelekea Cambiasso
23 - Krosi ya Sakho inaokolewa na Mohamed Omari Beki wa Cambiasso
30 - Kanoute anakosa goli la wazi
32 - Erasto Nyoni analitawala dimba la kati vizuri
36 - Kibu Denis anandika goli la pili baada ya kupokea pasi nzuri ya Kisigino kutoka kwa mhilu
38 - Simba SC 2-0 Cambiasso
40 - Simon Msuva anaiandika Cambiasso goli la kwanza
41 - Simba SC 2-1 Cambiasso
45 - Kanoute anaandika bao la 3 kwa krosi ya Israel Mwenda
Mapumziko Simba SC 3-1 Cambiasso
Mabadiliko - Anatoka - Henock, Wawa, Sadio, Gadiel, Kibu, na Sakho
Wanaingia - Onyango, Mzamiru, Kennedy, Hussein, Jimmyson na Taddeo
Kipindi Cha pili Kimeanza - Simba 3-1 Cambiasso
47 - Taddeo anaokoa inakuwa Kona kwa Cambiasso
55 - Cambiasso wanapiga kona wakiliandama lango la Simba
59 - Kipa wa Cambiasso anaucheza vizuri mpira uliopigwa na Bwalya
64 - Beno anatoka anaingia Ally Salim
70 - Mpira unachezwa kati kati ya Uwanja
75 - Cambiasso wanafanya mabadiliko - anaingia Rashid Ajibu anatoka Charles Msenga
78 - Simon Msuva anafumga bao la Pili kwa Cambiasso kwa kichwa
85 - Cambiasso bado wanalishambulia goli letu
Full Time - Simba SC 3-2 Cambiasso