Tutakuwekea kila kitakachokuwa kinaendelea katika mchezo huo kupita hapa kwenye App yetu.
Kikosi kinachoanza dhidi ya Haras El Hadoud
1. Beno Kakolanya 2.Israel Patrick 3.Gadiel Michael 4.Joash Onyango 5.Henock Inonga 6.Jonas Mkude 7.Peter Banda 8.Clatous Chama 9.Moses Phiri 10.Pape Sakho 11.Augustine Okrah
Kick OFF - Simba SC 0-0 Haras El Hadoud
02 - Haras El Hadoud wanapata penati
03 - Haras El Hadoud 1-0 Simba SC
10 - Bado Tupo Nyuma mpira ni wa kasi
15 - Mpira unachezwa kati ya Uwanja
20 - Simba SC 0-1 Haras El Hadood
25 - Mpira wa Kuotea kwa Mlinzi Gadiel Michael akiwa anataka kwenda kusawazisha
30 - Mapumziko Ya Maji jua Kali Sana Cairo
36 - Israel Mwenda ameoneshwa kadi ya njano
40 - Mchezo unaendelea huku tukishambuliana kwa zamu
41 - Phiri anaumia na kupatiwa matibabu
42 - Phiri anatoka na anaingia Victor Akpan
43 - Mwenda anaotea akiwa tayari anaenda kufunga
Mapumziko - Haras El Hadoud 1-0 Simba SC
Mabadiliko - Gadiel Michael, Clatous Chama na Augustine Okrah Wanaingia - Nassoro Kapama, Erasto Nyoni, na Habib Kyombo
45 - Kipindi cha pili kimeanza
50 - Sakho anaumia na kupatiwa matibabu
51 - Sakho anarudi Uwanjani
55 - Haras El Hadoud wanapata bao la 2
57 - Mabadiliko - Joash Onyango na Jonas Mkude wanaingia Taddeo Lwanga na Jimmyson Mwanuke
59 - Peter Banda anakosa goli kipa wa Haras El Hadoud anaudaka vizuri mpira
65 - Tupo Nyuma kwa bao 2-0
70 - Anatoka Beno Kakolanya anaingia Ally Salim
Mapumziko ya Maji
75 - Bado tupo nyuma kwa bao 2-0
80 - mashambulizi yanaendelea tukiliandama lango la Haras El Hadoud
85 - Bado mambo ni magumu
90 - Mpira umemalizika kwa kukubali kichapo cha bao 2-0